BREAKING NEWS
Naamini chenye mwanzo siku zote hakikosi mwisho,hivyo basi sisi sote tutaelekea mahali anapopenda mweanyezimungu, na pia unatakiwa utambue ya kwamba pesa hutafutwa lakini binadamu kamwe hawezi kutafutwa,kama ilikuwa 50,000,000 hikuweza kumsaidia chochote,ingawa watu wanasema kutoa ni moyo walal si utajiri,innlilah wainlilah ljuni,mungu ametoa na mungu ametwaa jina la mungu liimiliwe AMEN!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Comments
Post a Comment