Makomando ndani ya KIBEGA
Big up vijana,Kazi nzuri ndiyo silaha yako katika jamii, na pia kumbukeni kwamba ninyi ndiyo kioo cha jamii ambacho kinatakiwa kiwe kisafi mda wote kwa kufanya matendo ambayo yanayoipendeza na kuifurahisha pia jamii yetu.TAMADUNI NA MILA ndiyo nguzo kubwa na utambulisho wa TAIFA kwa ujumla.Mmefanya vizuri na endeleeni hivyo vivyo hivyo ndivyo jamii inapenda na ni lazima itawapa moyo na kuilinda kazi zenu pia