MUOGOPENI MUNGU

Hiki sio kitendo kizuri hata kidogo DADA  pamoja MAMA zetu,kama hamjaamua kuzaa ni bora uache kwani mnapoamua kufanya kitendo hiki mnakwaza na kujitengeezea maswali ya kujibu mbele ya mungu ni dhambi kubwa na hata pia hukumu yenu ipo nyuma yenu,kuwa na MSIMAMO ni nguzo kubwa kwako ili kuondokana na DHAHAMA HII.Jiamini na pia ujiulize upo na nani endapo utakapo kufa nawe MUNGU atakuchagulia zawadi gani? WWW.FACEBOOK.COM

Comments

Popular posts from this blog

FIELD REPORT ON BTCIT 2012

Afanya mapenzi na mifupa ya maiti