DAUDI MWANGOSI
Pole sana mwana habari mashuhuli kwa kilicho kukuta,kwani naamini ndio kazi ya mungu lakini haikosi kisa wakati wa kutendeka,Mchango wako katika JAMII ulikuwa mkubwa sana na pia nyie wana habari mna mchango mkubwa katika kuendeleza na kukuza TAIFA.MUNGU AILAZE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI.AMINA!!!!!!!!!!
Comments
Post a Comment