PIKIPIKI BALAA
Ajari ni kitu kibaya sana, Jamii pamoja na watu wote mnapaswa kuelewa nini hasa kiini cha tatizo ama ni kitu gani kinachopelekea mpaka matatizo kama haya yanatokea!iwe ni umasikini ama starehe,tujaribu sote kuelewesha umma kwa pamoja nini hasa kitendeke ili kuepukana na ajari kama hizi,EPUKA AJARI ZINAZO EPUKIKA.TAFAKARI CHUKUA HATUA!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Comments
Post a Comment