Manchester United inamtaka Walcott

Theo walcott
Manchester United imesemekana kuwa inamsaka mcheza kiungo wa Arsenal Theo Walcott, mwenye umri wa miaka Ishirini na mitatu.
Ripoti zinasema kuwa Manchester United inataka
kumsajili Walcott sawa na walivyofanya na mshambulizi wa Arsenal Robin
Van Persie mwezi Januari mwaka huu.Kocha wa Man United Sir Alex Ferguson ameripotiwa kuonyesha nia kubwa ya kumsajili mchezaji huyo ambaye mkataba wake na Arsenal unamazilika mswisho wa msimu huu.
Comments
Post a Comment